MICHELLE OBAMA ATANGAZA KUTOGOMBEA URAIS WA MAREKANI 2024

0

0:00

HABARI KUU



Kumekuwa na uwepo wa tetesi nyingi kuhusiana na mke wa aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama kutaka kugombea Urais 2024, Sasa Michelle amekanusha tetesi hizo kupitia ofisi yake siku ya jana Jumanne Machi 5.

Ofisi hiyo imelithibitisha hilo kwa kueleza kuwa Michelle hatogombea Urais kwani kwasasa ameamua kujikita kumuunga mkono Rais Biden katika kampeni zake ili kufanikisha achaguliwe tena.

Uchaguzi nchini Marekani unatarajiwa kufanyika Novemba 5, 2024, na mpaka sasa waliojitokeza kugombea Urais ni pamoja na Joe Biden ambaye yupo madarakani na Donald Trump.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  DART KUPATA MWEKEZAJI MPYA
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading