WANANCHI WA SINGAPORE WAKERWA NA UJIO WA TAYLOR SWIFT

0:00

NYOTA WETU

Mwanamuziki Taylor Swift alipokea ofa kubwa ambayo haijawekwa wazi kutoka Singapore ili kutumbuiza katika taifa hilo Asia ya Kusini-Mashariki wakati wa ziara yake ya Eras, kitendo ambacho kimeibua mjadala nchini humo.

Baada ya tamasha hilo kufanyika, Uvumi mkubwa uliibuka baada ya Waziri Mkuu wa Thailand Srettha Thavisin kudai Singapore walitoa ruzuku ya dola milioni 3 sawa na zaidi ya Tsh bilioni 7 kwa kila tamasha la mwanadada huyo ingawa kiasi kamili bado hakijawekwa wazi.

Mkataba huo wa kutengwa umeibua mijadala nchini Thailand na Ufilipino, huku wabunge wa Ufilipino wakiikosoa Singapore na kuhimiza hatua za kidiplomasia zichukuliwe huku afisa huyo wa zamani wa Singapore kwa kitendo alichokifanya.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading