FEISAL SALUM “FEI TOTO” APELEKA KILIO YANGA

0

0:00

MICHEZO

Kiungo Feisal Salum Fei Toto amepeleka kilio Jangwani kwa kufunga bao la ushindi kwa Azam FC waliotundika Yanga SC 2-1 kwenye muendelezo wa ligi kuu soka ya NBC Tanzania Bara.

Hiki ni kipigo cha pili kwa Yanga SC kwenye ligi kuu msimu huu wakisaliwa na alama 52 baada ya michezo 20 huku Azam FC wakipanda hadi nafasi ya pili wakifikisha alama 47 baada ya michezo 21

Nyota Feisal Salum alipoulizwa kwanini hakushangilia bao alilolifunga kwenye mchezo huo alijibu kwasababu anaiheshimu Yanga SC na anawapenda mashabiki wa timu hiyo.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  MAGAZETI YA LEO 29 MEI 2024
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading