RAIS WA VIETNAM AJIUZULU KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA UFISADI

0:00

HABARI KUU

Rais wa Vietnam,Vo Van Thuong amewasilisha barua yake ya kujiuzulu baada ya mwaka mmoja tu Madarakani kwa shutuma za kushindwa kupambana na ufisadi nchini humo.

Hatua hiyo ya kujiuzulu kwa Rais huyo mwenye umri wa miaka 53 inakuja wakati Vietnam ikikumbwa na msukosuko mkubwa wa kisiasa ambapo mtangulizi wake pia aliondoka Madarakani baada ya kushindwa katika harakati za kupambana na ufisadi, ikishuhudiwa Mawaziri kadhaa wakifukuzwa kazi .

Vo Van Thuong aliingia Madarakani mnamo Machi 2, 2023 baada ya kujiuzulu kwa mtangulizi wake, Nguyen Xuan Phuc.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Portable cries out after being hospitalised again
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading