0:00

NYOTA WETU

Nyota wa zamani wa Simba na Yanga Ramadhan Wasso amefariki dunia leo nchini Burundi.

Wasso raia wa Burundi ambaye usajili wake wa kutoka Simba kwenda Yanga ulitikisa sana mwanzoni wa mwaka 2000 atakumbukwa kwa ustadi mkubwa wa kumudu kucheza kama Mlinzi wa kushoto na mwenye uwezo mkubwa wa kupanda na kusaidia mashambulizi.

Taarifa toka Burundi zinasema Wasso amefikwa na umauti huo wakati akipatiwa matibabu nchini Burundi.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  KANYE WEST NA WAYAHUDI MAMBO NI SAFI
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading