IFAHAMU TIMU YA LIGI KUU YA TANZANIA SINGIDA BLACK STARS SPORTS CLUB

0

0:00

MICHEZO

Timu ya soka ya Ihefu iliyohamisha makazi yake kutoka Mbarali, Mbeya na kwenda Singida, imebadili jina lake kutoka Ihefu Sports Club na sasa inatambulika kama Singida Black Stars Sports Club.

Taarifa iliyotolewa na uongozi wa klabu hiyo imesema lengo la kubadili jina hilo ni kuiunganisha timu na wananchi wote wa Mkoa wa Singida.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa Singida Black Stars Sports club (zamani Ihefu SC) imelenga katika kuibua, kukuza na kuendeleza vipaji vya vijana wa Kitanzania ili kuinua maisha yao na kutimiza ndoto zao kupitia vipaji walivyonavyo.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  HOW TO FIGHT FOR YOUR MARRIAGE
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading