PRINCE DUBE NA AZAM FC KIMEELEWEKA

0

0:00

MICHEZO

Klabu ya Azam FC imeshinda kesi dhidi ya mshambuliaji wao Prince Dube kuhusu masuala ya kimkataba na sasa mchezaji huyo atatakiwa kuilipa klabu ya Azam FC kiasi cha Dola 210,000 sawa na zaidi ya milioni 540 za kitanzania) ili aweze kuwa mchezaji huru.


Dube hajashindwa kesi ,kesi ya msingi hapa ilikuwa ni mkataba wake na azam ambao kamati imejiridhisha kuwa mkataba wake utaisha 2024 mengine hayo ya malipo hayakuwa kesi ya msingi.

Dube hana mkataba mpaka 2026 ,kwahiyo atalipa yanayohitajika kwa mkataba uliobaki na kama Kuna timu inamtaka ikalipe hizo pesa kama hakuna timu basi miez 3 iliyobaki ikiisha ataondoka bure”. Ameeleza Mwandishi wa habari Juma Ayo.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  NYOTA WA CHELSEA WANAOTARAJIWA KUUZWA
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading