MBUNGE ATAKA PASSPORT ZIRUDI KUINGIA ZANZIBAR

0

0:00

HABARI KUU

Mbunge wa Jimbo la Konde, Pemba, Mohamed Said Issa ameitaka Serikali irudishe utaratibu wa kuingia visiwani Zanzibar kwa hati ya kusafiria akidai visiwa hivyo vinahitaji kulindwa.

Mohamed amesema hayo Bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

“Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea sasa watu Zanzibar watakuwa hawana sehemu ya kuishi. Mimi bado nahitajio ‘Passport’ irudi ili kuwe na ulindaji wa wanachi kuingia paleā€¦ Ukiingia sasa hivi Zanzibar viwanja vimechukuliwa, minazi hakuna tena jambo hili sio zuri,” amesema Mohamed.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Anti-discrimination charity Kick It Out says it received record-high reports of discrimination during the 2023-24 season, with levels of sexism, misogyny and racism on the rise.
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading