NJIA 4 ZA KUCHAGUA MWENZA WA MAISHA

0

0:00

MAPENZI

1. HAKIKISHA MOYO WAKO UMEMKUBALI. 💯

Yani uwe umempokea moyoni kiasi kwamba moyo❤️ una jua yeye ndiyo mpenzi wa moyo wako💓 na siyo mwingine moyo utoshelezwe na yeye.

2. HAKIKISHA AKILI YAKO IMEMKUBALI.💯

Akili yako iwe inajua yeye ndiye mwenye sifa namba moja za kike au zakiume, na wengine wanafata nyuma yake, ili
usiseme nivile sina jinsi ndiyo nilie mpata nitavumilia tu.

3. HAKIKISHA MWILI WAKO UMEMKUBALI.💯

Nikimanisha tamaa ya mwili wako imkubali, kiasi kwamba shauku ya mwili wako nikuwa na yeye tu muda wote na siyo mwingine.

4. HAKIKISHA MAISHA YAKO YAMEMKUBALI.💯

Yani kipato chako, mipango yako ya maisha imkubali,
ili kuepusha kuwepo na siri na vificho kati yenu.🤔

Watu wengi leo hii kwenye ndoa na mahusiano wanateswa na mambo haya (manne) wako na watu ambao hawajawakubali moyoni.

Japo huenda wamewakubali akilini kutokana na sifa nzuri alizo nazo mwenza wako

Unakuta mwili wako pia haumkubali huyo mwenza wako ndiyo maana migogoro ya kutokuridhishana kwenye mahusiano nimingi sana,

Unakuta mwiliwako unahisi ana mapungufu na una mtamani mwingine, inapelekea kuwa chanzo cha usariti

Unakuta mwingine kipato chake anakificha kwa sababu anajua mwenza wake niadui wakipato chake akijua tu atatumia vibaya. Hali hii inapelekea uaminifu kuvunjika ndani ya ndoa au mahusiano.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  WHY IS DANGEROUS TO FORCE LOVE
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading