NIFFER ATAJA KISA CHA UGOMVI WAKE NA FRED VUNJABEI

0:00

CELEBRITIES

“SIMPENDI SANA VUNJABEI”



Mfanyabiashara mahili Janifer Jovin “Niffer” ameweka wazi kuwa hapendi biashara yake kuhusishwa na Fred Vunjabei pia amesema hajawahi kuwa na ukaribu Wala mahusiano ya kimapenzi na Fred Vunjabei.

Katika mazungumzo Hayo Niffer aliongeza Kwa Kusema anamchukia Fred Vunjabei kutokana na tabia yake ya kupenda kujihusisha nyuma ya mafanikio ya mwanadada yoyote wa hapa mjini.

Ikumbukwe Kipindi Niffer anaanza biashara ya nguo ziliibuka habari kuwa Fred Vunjabei Ndio anahusika Kwa asilimia Kubwa Kwa mwanadada huyo.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  US election: Cardi B backs Kamala Harris for President
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading