Real Madrid Mabingwa wapya La Liga

0

0:00

MICHEZO

Klabu ya Real Madrid wametangazwa machampioni wapya wa La Liga baada ya ushindi wa 3-0 walioupata dhidi ya Cadiz huku mahasimu wao wa Barcelona wakipokea kipondo cha 4-2 kutoka kwa Girona na kuzima matumaini ya kutokea maajabu kwenye mbio za ubingwa wa ligi kuu nchini Uhispania

Madrid wametangazwa mabingwa baada ya kufikisha alama 87 kwenye michezo 34 tu alama ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote wakati huu michezo minne ikiwa imesalia kabla ya kutamatishwa rasmi kwa msimu wa ligi hiyo.

Huu ni ubingwa wa 36 wa La Liga kwa Real Madrid huku likiwa taji la sita la ligi kuu kwa mwalimu Carlo Ancelotti aliyetwaa mataji kwenye ligi zote kubwa Ulaya ambapo kwa Hispania ni mara yake ya pili kubeba taji la ligi kuu.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  FRANK LAMPARD WANTS COLE PALMER TO BECOME HEIR TO MESSI AND RONALDO
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Please disable your adblocker or whitelist this site!

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading