Obrey Chirwa afunguka mazito na mipango ya kulipiza kisasi

0:00

MICHEZO

“Kitendo changu cha kushangilia kilikuwa ni kuzifikishia ujumbe timu kubwa hapa Tanzania ambazo ziliwahi kuniacha na kunikataa kwa madai nimezeeka.”

“Mbali na kuifunga Simba SC nilipanga pia kuzifunga Young Africans ambao walinusurika kidogo sambamba na Azam FC, lakini nimedhamiria kuzifunga siku moja.”

“Hizo timu ziliniacha baadhi na nyingine zikadai mimi mzee lakini nilisema kila nitakapokutana nao nataka kuwafunga ili wajue mimi sio mzee na nikabahatika kuwafunga Simba SC.”

“Young Africans wana bahati sana mechi ya kwanza nilishawafunga waamuzi wakawabeba, nikawakosa mechi ya pili kidogo na bado Azam hapa Tanzania kuna dharau sana watu wakikuzoea.”

“Mimi bado ni mshambuliaji mwenye nguvu nyingi lakini wao wanakuona mzee dawa yao ni kuwafunga na kuwajibu kama vile ili waheshimu wachezaji.”

Mshambuliaji Kagera Sugar – Obrey Chirwa


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  HOW TO MAKE YOUR WOMAN HAPPY
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading