ORODHA YA MABILIONEA VIJANA DUNIANI

0:00

NYOTA WETU

Kwa mujibu wa mtandao wa Wealth, hawa ndio Mabilionea wenye umri mdogo zaidi duniani (pangusa kushoto kuona orodha kamili).

Katika orodha hii, Bilionea mwenye umri mkubwa zaidi ni Ben Francis na Mark Mateschitz wakiwa na umri wa miaka 31, na mdogo zaidi akiwa ni Clemente Del Vecchio mwenye umri wa miaka 19.

Tajiri zaidi kati yao ni Mark Mateschitz mwenye utajiri wa kushangaza wa dola Bilioni 39.6 za Kimarekani, wakati tajiri mdogo zaidi ni Ben Francis ambaye anajivunia utajiri wa kushangaza wa dola Bilioni 1.3 za Kimarekani.

Orodha hii inajumuisha watu watatu wa familia ya Del Vecchio ambao ni Leonardo Maria, Clemente na mwingine ambaye hajatajwa jina ambapo utajiri wa familia hiyo unatokana na umiliki wao wa kampuni kubwa ya Luxottica.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Ten Hag rejects Ronaldo criticism over ambition
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading