Chelsea kumuuza Trevoh Chalobah

0:00

MICHEZO

Klabu ya Chelsea iko tayari kumuuza Trevoh Chalobah kwa Pauni Milioni 25 msimu huu wa joto na inapania kutoa ofa kwa beki huyo mwenye umri wa miaka 24.

Kwa mujibu wa Gazeti la Telegraph, Mchezaji huyo kutoka England alitakiwa na Tottenham, Bayern Munich na Nottingham Forest msimu uliopita wa joto.

Pendekezo la kwanza kwa beki huyo ni kucheza soka lake nchini England na kuwa sehemu ya kikosi cha kwanza cha timu yoyote atakayoitumikia.

Gazeti la Telegraph limeandika: “Uhamisho wa kwenda Bayern ulishindikana mwishoni mwa dirisha la usajili la majira ya joto lililopita na Miamba hiyo ya Ujerumani ikamsajili Eric Dier, wakati Tottenham bado wanataka kusajili beki mpya wa kati.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  COLE PALMER KINARA WA MABAO EPL
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading