Bilionea Larry Connor aandaa mpango wa kuzama baharini kuyaona masalia ya meli ya Titanic

0:00

5 / 100

Bilionea Larry Connor wa Marekani anajipanga kwenda chini ya Bahari kwa kutumia Manowari licha ya ajali mbaya iliyotokea Juni 2023 ambapo watu watano walifariki dunia.

Connor, atasafiri kwa kutumia Manowari yenye uwezo wa kubeba watu wawili, lengo lake ni kufikia eneo yalipo mabaki ya meli ya Titanic iliyozama mwaka 1912.

Muwekezaji huyo amesema “nimenuia kuionyesha dunia kuwa japo bahari ina nguvu kubwa, lakini inaweza kuwa ya ajabu, yenye kufurahisha na kubadilisha maisha ikiwa utaiendea kwa njia sahihi”.

“Manowari tutakayotumia ina teknolojia ya hali ya juu na inaweza kwenda chini zaidi ya yalipo mabaki ya Titanic”.

Katika safari hiyo Connor ataongozana na Patrick Lahey mmoja wa waongoza manowari wenye uzoefu mkubwa duniani na mwanzilishi mwenza wa kampuni ijulikanayo kama Triton Submarines.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  I used my own money in the recent election and don’t have any group or organization to compensate –Pres.Tinubu
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading