AUCHO AADHIBIWA KWA KOSA LA KUPIGA

0

0:00

MICHEZO

Kiungo wa klabu ya Yanga, Khalid Aucho raia wa Uganda amefungiwa michezo mitatu na kutozwa faini ya shilingi laki tano 500,000/ kwa kosa la kumpiga kiwiko Mshambuliaji wa timu ya Coastal Union, Ibrahim Ajib katika mchezo wa Yanga dhidi ya Wagosi wa Kaya hao Coastal Union mchezo wa ligi kuu bara kwenye uwanja wa Mkwakwani, Tanga . Katika mchezo huo ambapo Yanga waliibuka kidedea kwa ushindi wa goli 1-0 likifungwa na Clement Mzinze.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Highlights : SIMBA 3-1 TANZANIA PRISONS" on YouTube
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading