MWANAMZIKI CHEMICAL AFUNGUKA MAISHA YAKE YALIVYO AKIWA MASOMONI

NYOTA WETU Chemical afunguka jinsi alivyokuwa star chuo alichosoma Prince Harry Rapa msomi Chemical_tz amefunguka mengi akiwa nchini Scotland ambapo anasoma mwaka wa tatu akichukua PHD chuo cha Schools of Earth and Environmental Sciences, Geography and Sustainability, and Music uniofstandrews . Chemical amedai Mungu akimjalia bado mwaka mmoja ahitimu ambapo pia ameeleza maisha yake jinsi… Continue reading MWANAMZIKI CHEMICAL AFUNGUKA MAISHA YAKE YALIVYO AKIWA MASOMONI

BURUNDI NA RWANDA ZAINGIA KWENYE VITA YA KIUCHUMI

HABARI KUU Serikali ya Burundi imesema Mfanyabiashara atakayekamatwa akiwa anapeleka biashara nchini Rwanda ataadhibiwa kama adui wa nchi. Hayo yamesema na Mkuu wa Mkoa wa Cibitoke, Careme Bizoza wakati akizungumza na Wakuu wa Wilaya, Madiwani na Wenyeviti wa Mkoa huo unaopakana na Rwanda. Wananchi wa mkoa huo wamesema kuwa hatua hiyo ni kama kuwafunga mikono… Continue reading BURUNDI NA RWANDA ZAINGIA KWENYE VITA YA KIUCHUMI

Mitandao ya Netblocks na CloudflareRadar inayohusika na ufuatiliaji wa Huduma za Intaneti na Usalama Mtandaoni imesema baadhi ya Nchi Barani Afrika zimepatwa na tatizo la kukatika kwa Huduma za Intaneti, sababu ikidaiwa ni kukatika kwa nyaya katika Mkongo wa Mawasiliano wa Baharini

Baadhi ya Nchi zilizoripoti kupata shida kwenye mawasiliano ni Tanzania, IvoryCoast ambayo imeripoti kushuka kwa ubora kwa Intaneti hadi 4%, Benin 14% na Ghana kwa 25% huku nchi nyingine zilizopata shida zikiwa ni Afrika Kusini, Nigeria, Liberia, na Burkina Faso

Nchini Tanzania, Mtandao wa Vodacom umekiri kutokea kwa tatizo lililoathiri huduma za M-PESA, Kupiga na Kupokea Simu. Pia, Serikali za Nigeria na Liberia zimesema zimebaini uwepo wa tatizo la Intaneti.

So many ladies want to get married but aren’t actually ready for it. Here are few things to work on as a lady before you consider a relationship or marriage.

1)Education:
Let no man deceive you, this is one of the most necessities ❣️

2) Skills:
Please, if you can’t afford education just have handwork, have your own source of income. This economy is not just a one man’s affair.

3) Respect:
Without a doubt, men take pride in respect. You must be respectful.

4) Good Company:
Show me your friends and I’ll tell you who you are. Keep good friends; friends that will help you grow. Make friends of God’s children.

5) Decency:
You must be decent. You don’t need to wear expensive apparels to look pretty. Just dress well.

6) Forgiven Heart:
Marriage is a union of two forgivers. You must learn how to forgive easily.

7) Be a Listener:
Don’t jump into conclusion; assumptions are not good. Hear the end of the story. Listen to understand and not just to reply. Learn how to communicate.

8) Be Prayerful:
This should not be taken for granted. In as much as you desire to be with a prayer partner, put God first and allow him to direct you.

9) Be Contented:
Don’t eat the last piece of what you didn’t buy. Be moderate, elegant and smart.

10) Be Intentional:
Marriage or relationship should not stop your life. You must be purpose driven. Define your self worth with your character.

11) Go for Knowledge:
Yes. Attend conferences, webinars, workshops and read books. It’s not enough to watch tiktok videos and reels oo. An investment in knowledge is priceless.

12) Always remember you’re the image of God.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe na Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar.

Katika mabadiliko hayo, aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga anakwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe huku aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Theopista Mallya akihamishwa kwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma kuchukua nafasi ya Kamishna… Continue reading Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe na Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe na Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar.

Katika mabadiliko hayo, aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga anakwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe huku aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Theopista Mallya akihamishwa kwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma kuchukua nafasi ya Kamishna… Continue reading Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe na Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe na Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar.

Katika mabadiliko hayo, aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga anakwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe huku aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Theopista Mallya akihamishwa kwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma kuchukua nafasi ya Kamishna… Continue reading Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe na Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe na Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar.

Katika mabadiliko hayo, aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga anakwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe huku aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Theopista Mallya akihamishwa kwenda kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma kuchukua nafasi ya Kamishna… Continue reading Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe na Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar.

Mkuu wa Wilaya Morogoro Rebeca Nsemwa ameagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu Diwani Kata Mwembesongo Mhe.Ally Rashidi Kalungwana Kwa kitendo cha Kutumia vibaya madaraka yake kujenga vibanda vya biashara katika eneo la wazi Soko Kuu la chifu Kingalu Manispaa ya Morogoro

DC Rebbeca amesema Diwani huyo amejenga vibanda vya kufanyia biashara katika Soko Kuu la Chifu Kingalu bila kufuata taratibu za mipango miji jambo ambalo ni kosa kisheria na kutaka achukuliwe hatua za kinidhamu haraka sana Ili iwe fundisho kwa watu wengine. DC Rebbeca anasema licha ya Diwani huyo kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya mipango miji… Continue reading Mkuu wa Wilaya Morogoro Rebeca Nsemwa ameagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu Diwani Kata Mwembesongo Mhe.Ally Rashidi Kalungwana Kwa kitendo cha Kutumia vibaya madaraka yake kujenga vibanda vya biashara katika eneo la wazi Soko Kuu la chifu Kingalu Manispaa ya Morogoro

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner