REASONS WHY WOMEN GET ATTACHED TO MEN AFTER SEX

There are five reasons a woman gets attached to a man after sex. ✓ Women naively believe what they hear. The way to a woman is through her ears. For a man to sleep with a woman, he says what the woman wants to hear: “You are the most beautiful woman I’ve ever met. You… Continue reading REASONS WHY WOMEN GET ATTACHED TO MEN AFTER SEX

MCHEZAJI WA KLABU YA AL AHLY AHUKUMIWA JELA MWAKA MMOJA NA KUZUIWA KUCHEZA SOKA

Mchezaji nyota wa Al Ahly Hussein El-Shahat amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na faini ya pauni 100,000 za Misri kwa kosa la kumpiga Mohamed Chibi wa Pyramids kwenye mchezo ambao Al Ahly alifungwa Mabao matatu kwa bila msimu uliopita. Baada ya kumalizika kwa mchezo huo Hussein El-Shahat alionekana kumpiga Vibao Chibi huku akidai kuwa… Continue reading MCHEZAJI WA KLABU YA AL AHLY AHUKUMIWA JELA MWAKA MMOJA NA KUZUIWA KUCHEZA SOKA

Following the termination of Davido’s label, DMW’s partnership with Solana, Wizkid publicly criticized Davido partnership’s swift dissolution and subsequent decline in Solana’s value within 24 hours prompted Wizkid’s negative comments.

Renowned Nigerian musician Wizkid has taken to social media to express his disapproval of his colleague Davido, following the sudden conclusion of Davido’s collaboration with the cryptocurrency Solana, which was cut short due to a decrease in its market value. Wizkid, publicly criticized his rival Davido on various social media platforms after Davido’s partnership with… Continue reading Following the termination of Davido’s label, DMW’s partnership with Solana, Wizkid publicly criticized Davido partnership’s swift dissolution and subsequent decline in Solana’s value within 24 hours prompted Wizkid’s negative comments.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Nyasa ambaye pia anagombea kutetea nafasi hiyo katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa amewasilisha malalamiko dhidi ya Mjumbe wa Sekretarieti ya chama hicho John Mrema kwa kile alichokitaja kuwa mgongano wa masilahi katika uchaguzi wa kanda wa chama.

Katika barua aliyomwandikia Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika, Msigwa ameeleza kuwa mwenendo wa John Mrema unazua maswali kwani ameonesha dhahiri kuegemea upande wa mgombea mwenza wa uenyekiti wa kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na kuonesha dalili zote za rushwa kinyume na “Kanuni ya 1 (vi) ya Mwongozo wa Chama dhidi ya Rushwa Kwenye… Continue reading Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Nyasa ambaye pia anagombea kutetea nafasi hiyo katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa amewasilisha malalamiko dhidi ya Mjumbe wa Sekretarieti ya chama hicho John Mrema kwa kile alichokitaja kuwa mgongano wa masilahi katika uchaguzi wa kanda wa chama.

Why did Chelsea decided to appoint Enzo Maresca as Head Coach

London Chelsea is on the verge of appointing a new head coach – it will most likely be Enzo Maresca. It is expected that the Italian specialist will sign a contract for at least five years. Leicester’s compensation for his transfer will be around £8-10 million. Maresca plans to take most of his coaching staff… Continue reading Why did Chelsea decided to appoint Enzo Maresca as Head Coach

WHY A CHEATING WOMAN IS MORE DANGEROUS THAN POISON

A CHEATING WOMAN IS MORE DANGEROUS THAN POISON A man can cheat on his woman and still love her but a woman cannot cheat on her man and still love him. I say this because while men do not have sex with emotions, women can’t have sex without attaching emotions to it. This is the… Continue reading WHY A CHEATING WOMAN IS MORE DANGEROUS THAN POISON

“I regret making song about my ex” Adekunle Gold

Singer Adekunle Gold has expressed regret over writing a song about his ex-girlfriend who broke his heart. The song, “Damn Delilah,” featured on his debut album “About 30,” captures his feelings of heartbreak. In celebration of the album’s sixth anniversary, the singer shared the album cover on his X handle on Sunday, May 27, with… Continue reading “I regret making song about my ex” Adekunle Gold

Which is the contract between Enzo Moresca and Chelsea

He will sign a 5-year contract! Despite the fact that many well-known insiders reported that Enzo Mareschi’s contract with London’s Chelsea would be for 3 years, The Athletic journalist David Ornstein denied this information. “Negotiations are underway, everything is very fast and soon we should find out the name of the new Chelsea head coach.… Continue reading Which is the contract between Enzo Moresca and Chelsea

Nchini Korea Kaskazini kama “Birthday” yako ni tarehe 8 Julai au 17 Desemba basi huna bahati, kwani hairuhisiwi kusherehekea siku yako ya kuzaliwa.

Sababu kubwa ni kwamba tarehe hizo Baba wa Taifa hilo “Kim Il-Sung” na “Kim Jong-Il” walifariki, hivyo ni onyo kuonesha dalili yoyote ya furaha kama ni siku yako ya kuzaliwa. “Kim Il-Sung” ndiye Mwanzilishi wa Nchi ya Korea Kaskazini Mnamo mwaka 1948, pia alikuwa Kiongozi Mkuu (Supreme Leader) wa kwanza wa nchi hiyo Kuanzia Mwaka… Continue reading Nchini Korea Kaskazini kama “Birthday” yako ni tarehe 8 Julai au 17 Desemba basi huna bahati, kwani hairuhisiwi kusherehekea siku yako ya kuzaliwa.

Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda Mama Tunu Pinda, ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Shirikisho la amani duniani Kanda ya Tanzania (Universal Peace federation- UPF) kwa miaka miwili baada ya kukabidhiwa na Balozi wa shirikisho la amani duniani bara la Afrika UPF Adama Doumbia.

Lengo la Uenyekiti huo ni kuhamasisha amani miongoni mwa watanzania bila kubagua dini, Madhehebu, mila, Viongozi wa Chama na serikali, Wabunge na wananchi kuanzia ngazi ya mtu mmoja, familia hadi taifa. Makabidhiano hayo yanefanyika kwenye hafla fupi jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Jumuiya na Mashirikisho ya Amani ya dini, madhehebu… Continue reading Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda Mama Tunu Pinda, ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Shirikisho la amani duniani Kanda ya Tanzania (Universal Peace federation- UPF) kwa miaka miwili baada ya kukabidhiwa na Balozi wa shirikisho la amani duniani bara la Afrika UPF Adama Doumbia.

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner