KWANINI RWANDA IPO TAYARI KUINGIA VITANI NA DR CONGO?

Katika mahojiano maalum na FRANCE 24, Rais wa Rwanda Paul Kagame amezungumzia uhusiano uliopo kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo akibainisha kuwa nchi yake iko tayari kuingia vitani na jirani yake ambaye ni DR Congo. Katika kujibu shutuma za hivi hivi karibuni kutoka kwa mwenzake wa Congo, Félix Tshisekedi, ambaye kulingana… Continue reading KWANINI RWANDA IPO TAYARI KUINGIA VITANI NA DR CONGO?

TOP 6 BIGGEST COMPANIES IN THE WORLD BY MARKET CAP

NVIDIA AI Nvidia was founded in 1993 in the US. The current CEO is Jansen Huang. Nvidia’s solutions include AI, Data and Computer Clouding, Design and Simulation, Robotics, Self-Driving Vehicles, etc. It is currently worth 3.34 trillion dollars after it gained popularity because of massive recent adoption of its GPUs – graphic processing units which… Continue reading TOP 6 BIGGEST COMPANIES IN THE WORLD BY MARKET CAP

MFAHAMU MKE WA RAIS WA AFRIKA KUSINI CYRIL RAMAPHOSA

Jana, Rais Cyril Ramaphosa aliapishwa kuendelea kuongoza Taifa la Afrika Kusini kwa kipindi kingine cha miaka mitano huku mwenza wake, Tshepo Motsepe akiwa mwenye furaha kubwa katika sherehe zilizoshuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Tshepo Motsepe ni nani? Mwanamke huyu aliyezaliwa Juni 17, 1953 ni tabibu (physician) na mfanyabiashara. Yeye ni dada mkubwa wa Bridgette… Continue reading MFAHAMU MKE WA RAIS WA AFRIKA KUSINI CYRIL RAMAPHOSA

SOME OF THE DARKEST SIDES OF WOMEN YOU DON’T KNOW

A woman who loves you, smells everything that touches you including your clothes. And, again, shyness and tears are not a valid effects to determine if she’s a good woman, because a woman can fake it like a boss. They are capable of doing that. When you cheat on her and she doesn’t hate you,… Continue reading SOME OF THE DARKEST SIDES OF WOMEN YOU DON’T KNOW

KURASA ZA MAGAZETI YA HIVI LEO IIJUMAA 21/06/2024

MAGAZETI Karibu Mtanzania popote pale ulipo kwenye asubuhi ya leo kwenye mbao za magazeti ya hivi leo popote pale ulipo kwenye Jamhuri yetu tukufu ya Tanzania.

KWANINI USAJILI WA LAMECK LAWI UNAZUA UTATA KATI YA SIMBA NA COASTAL UNION?

MICHEZO BREAKING NEWS. COASTAL UNION WADAI LAWI BADO NI MCHEZAJI WAO. Licha ya klabu ya Simba SC kumtambulisha beki, Lameck Lawi leo jioni, usiku huu viongozi wa Coastal Union wamesema wao wanatambua kuwa Lameck Lawi bado ni mchezaji wao halali na watamtumia msimu ujao. “Ni kweli tulikuwa na mawasiliano na Simba lakini walishindwa kufikia ofa… Continue reading KWANINI USAJILI WA LAMECK LAWI UNAZUA UTATA KATI YA SIMBA NA COASTAL UNION?

KIPI KINASABABISHA MVURUGIKO WA SIKU ZA HEDHI KWA WANAWAKE?

AFYA 🌟 Kuelewa Mvurugiko wa Siku za Hedhi kwa Wasichana 🌟 Hizi hapa ni baadhi ya sababu zinazoweza kupelekea mvurugiko wa siku za hedhi: 💠 Umri: Wanawake wenye umri wa miaka 40 na kuendelea wapo kwenye hatari ya kuwa na mvurugiko wa siku za hedhi kutokana na upungufu wa ufanyaji kazi wa ovari katika kuzalisha… Continue reading KIPI KINASABABISHA MVURUGIKO WA SIKU ZA HEDHI KWA WANAWAKE?

MAWAKILI KUMBURUZA MAHAKAMANI MKUU WA WILAYA KWA UDHALILISHAJI WANAWAKE

HABARI KUU Wakili wa kujitegema nchini Wakili Peter Madeleka amesema wanajiandaa kufungua shauri la fidia ya shilingi za Kitanzania bilioni 36 dhidi ya mkuu wa wilaya ya Ubungo jijini Dar es salam Hassan Bomboko kwa udhalilishaji wa watu 36 alioagiza wamakatwe akiwatuhumu kujihusisha na biashara ya ngono na kisha kuachiliwa huru. Wakili Madeleka ametoa kauli… Continue reading MAWAKILI KUMBURUZA MAHAKAMANI MKUU WA WILAYA KWA UDHALILISHAJI WANAWAKE

WHY MEN LOVE SEX?

DEAR LADIES SEX ISN’T ENOUGH PLEASE TAKE NOTE It’s possible for any man to ask for sex in a relationship, but is left for you as a lady to know that sex, can’t keep him..(Sex isn’t enough) There are two major factors ladies complain about sex in a relationship:√ After giving him my body he… Continue reading WHY MEN LOVE SEX?

WHAT WOMEN WANT AFTER SEX

When men want sex, they can say and do the right things; but how he feels about her is revealed after the sex. Many women get great sex yet feel unloved by the man they are building a future with, many wives feel used by their husbands. Some men start the sex well, get the… Continue reading WHAT WOMEN WANT AFTER SEX

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner