Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekutwa na hatia ya uharifu kwa mashtaka ya jinai 34

Hayo yamebainishwa na Jopo la wajumbe wa mahakama mjini New York,siku ya jana Alhamisi ambapo walisema kuwa Donald Trump anakabiliwa na mashtaka 34 ikiwemo ya kugushi hati zake za biashara. Jopo hilo lenye wajumbe 12 lilitathmini na kutafakari kwa siku mbili ushahidi wote liliopokea na kutoa uamuzi dhidi ya Trump mwenye umri wa miaka 77… Continue reading Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekutwa na hatia ya uharifu kwa mashtaka ya jinai 34

MCHEZAJI WA KLABU YA AL AHLY AHUKUMIWA JELA MWAKA MMOJA NA KUZUIWA KUCHEZA SOKA

Mchezaji nyota wa Al Ahly Hussein El-Shahat amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na faini ya pauni 100,000 za Misri kwa kosa la kumpiga Mohamed Chibi wa Pyramids kwenye mchezo ambao Al Ahly alifungwa Mabao matatu kwa bila msimu uliopita. Baada ya kumalizika kwa mchezo huo Hussein El-Shahat alionekana kumpiga Vibao Chibi huku akidai kuwa… Continue reading MCHEZAJI WA KLABU YA AL AHLY AHUKUMIWA JELA MWAKA MMOJA NA KUZUIWA KUCHEZA SOKA

Which is the contract between Enzo Moresca and Chelsea

He will sign a 5-year contract! Despite the fact that many well-known insiders reported that Enzo Mareschi’s contract with London’s Chelsea would be for 3 years, The Athletic journalist David Ornstein denied this information. “Negotiations are underway, everything is very fast and soon we should find out the name of the new Chelsea head coach.… Continue reading Which is the contract between Enzo Moresca and Chelsea

NANI KUWA MFUNGAJI KATI YA AZIZ KI NA FEISAL SALUM?

Leo jioni tutajua nani Mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Mchuano uko kwa nyota wawili Stephane Aziz KI wa Yanga SC na Feisal Salum wa Azam FC. Mchuano sio mdogo. Kila mmoja ameshafunga mabao 18. Yanga SC watakuwa katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kucheza dhidi ya Tanzania Prisons kutoka Mbeya. Mchezo huu… Continue reading NANI KUWA MFUNGAJI KATI YA AZIZ KI NA FEISAL SALUM?

WHAT MANY PEOPLE DON’T UNDERSTAND ABOUT LOVE

LOVE TIPS ❤ 1. There will be times I will be so mad at you and cold towards you. It’s not that I hate you. I am just disappointed by what you did, my love hasn’t gone any where 2. There will be times I will not spend as much time with you as you… Continue reading WHAT MANY PEOPLE DON’T UNDERSTAND ABOUT LOVE

SANAMU LA KYLIAN MBAPPE LAZUA GUMZO DUNIANI

MICHEZO Mchezaji wa zamani wa PSG, Kylian Mbappe siku ya jana Mei 16, 2024 huko Paris nchini Ufaransa, alizindua sanamu lake katika Nyumba ya Makumbusho ya Madame Tussauds, na kuzua gumzo kutokana na kufanana kwa kiasi kikubwa na mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa. Wakati wa hafla hiyo iliyohudhuriwa na Baba yake Mbappe (Wilfrid) na… Continue reading SANAMU LA KYLIAN MBAPPE LAZUA GUMZO DUNIANI

Angela Okorie fires back at Mercy Johnson’s husband

CELEBRITIES Controversial actress, Angela Okorie continues to troll the family of her senior colleague as she blasts Mercy Johnson‘s husband who likened her rant to mental illness. This came after Mercy’s husband, Prince Okojie addressed the claims trailing his wife and late in-law as a witch. After being branded with battling mental illness by Mercy… Continue reading Angela Okorie fires back at Mercy Johnson’s husband

Reactions erupt as singer Davido responds to a Wizkid fan comment of “Big Bird” on his latest social media post

CELEBRITIES Singer Davido who seems to be at loggerheads with his fellow singer Wizkid as he returns to his verified Instagram page in an uproar. On May 4th today, 2024, on the verified Instagram page of the superstar Afrobeat singer Davido is where you will find new photos of himself in Jamaica that he has… Continue reading Reactions erupt as singer Davido responds to a Wizkid fan comment of “Big Bird” on his latest social media post

9 MISTAKES LADIES MAKE IN THE NAME OF MARRIAGE

LOVE TIPS ❤ 1. MARRYING AN OLDER MAN:I don’t think marrying older men is bad but marrying someone that is old enough to be your father or older than your father, I’d a bit tricky.Long term physical and ideological discrepancies will set in. Take care. 2. PLEADING, BEGGING & CRYING FOR MEN to marry them;… Continue reading 9 MISTAKES LADIES MAKE IN THE NAME OF MARRIAGE

35 QUALITIES OF A REAL MAN

LOVE TIPS ❤ When searching for that special someone, it’s always good to have an image of what he should be like. It’s awfully easy for a man to puff up his chest and put on a show, but how can you know if he is a real man? Discover the truth today with these… Continue reading 35 QUALITIES OF A REAL MAN

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner