REASONS WHY YOU ARE UNLUCKY WITH WOMEN

LOVE TIPS ❤ 1.. You always accept to be her friend. Once a lady says WE ARE JUST FRIENDS or LET US JUST BE FRIENDS that mean she can’t date or marry you. Simple! See finish has entered or you are not attractive at all to her for love relationship. 2.. You talk too much… Continue reading REASONS WHY YOU ARE UNLUCKY WITH WOMEN

Watch a video of young boy kneeling respectfully approach famous singer ,Davido

CELEBRITIES Heartwarming video surfaced online, capturing the moment an endearing young boy stole the spotlight by kneeling to respectfully approach famous singer, Davido. (watch) The boy’s adorable gesture melted the hearts of viewers, demonstrating the profound affection and admiration expressed towards the popular musician. On social media, numerous users have expressed admiration for a young… Continue reading Watch a video of young boy kneeling respectfully approach famous singer ,Davido

Bodaboda usafiri mtamu wenye uchungu ndani yake

MAKALA Sote tunafahamu kuwa kutokana na msongamano wa miji inayoendelea kukua hasa hii ya Kiafrika na ugumu wa maisha katika mifuko, ilipelekea wengi kuuona usafiri wa Bodaboda kama njia rahisi, nafuu na ya haraka kwa usafiri wa umma ambayo hata hivyo ina mambo mengi. Kwa wasiofahamu Boda-Boda imepata jina lake kutokana na neno “mpaka”, kwani… Continue reading Bodaboda usafiri mtamu wenye uchungu ndani yake

Manchester United na Bayern Munich zaingia vitani

MICHEZO Saa chache baada ya Klabu ya Chelsea kutangaza kuachana na Mauricio Pochettino, Klabu za Manchester United na Bayern Munich zimeanza kuhusishwa na mpango wa kumuajiri Kocha huyo kutoka nchini Argentina. Chelsea imetangaza kusitisha Mkataba wa miaka miwili wa Kocha huyo, baada ya kufanya mazungumzo kwa kina na pande zote mbili kukubaliana kuvunjwa kwa Mkataba… Continue reading Manchester United na Bayern Munich zaingia vitani

Emilio Nsue López atangaza kurejea kwenye soka

MICHEZO Kinara wa ufungaji kwenye Fainali za Mataifa ya Bara la Afrika ‘AFCON 2023’ Emilio Nsue López ambaye alitangaza kustaafu baada ya kutofautiana na Uongozi wa Shirikisho la soka la Guinea ya Ikweta, amebatilisha uamuzi wake. Mshambuliaji huyo aliyefunga mabao matano ametangaza kurejea kwenye majukumu ya kuitumikia Guinea ya Ikweta, katika harakati za kusaka nafasi… Continue reading Emilio Nsue López atangaza kurejea kwenye soka

CHELSEA YAACHANA NA MAURICIO POCHETTINO

MICHEZO Uongozi wa Klabu ya Chelsea umetangaza kuachana na Kocha Mauricio Roberto Pochettino Trossero kwa makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja Mkataba ambao ulisainiwa mapema msimu wa 2023/24. Kocha huyo alisaini mkataba wa miaka miwili, hivyo sehemu ya mwaka mmoja katika Mkataba wake ndio imevunjwa kwa makubaliano maalum yaliyofikia kati yake na Uongozi wa… Continue reading CHELSEA YAACHANA NA MAURICIO POCHETTINO

TOUCH HER IN THESE PLACES, INTIMATELY

LOVE TIPS ❤ TOUCH HER IN THESE PLACES, INTIMATELY….she loves it. Every traveller needs a map for directions and this is the essence of our topic for today. Women differ one from another. While some women like ice cream, others are satisfied with a bowl of soaked garri, sugar and lots of groundnut (winks). Even… Continue reading TOUCH HER IN THESE PLACES, INTIMATELY

SEAN COMBS HAS BEEN ACCUSED BY A WOMAN IN ORAL SEX WITHOUT HER CONSENT

Rapper and businessman Sean Combs “Diddy”, has been accused by a woman who was a model who claims he was forced to participate in oral sex without her consent while she was unconscious Crystal McKinney at the age of 22 met #Diddy, Cipriani Downtown NYC In 2003 at a menswear show, she was invited to… Continue reading SEAN COMBS HAS BEEN ACCUSED BY A WOMAN IN ORAL SEX WITHOUT HER CONSENT

Sean Combs “Diddy ” afunguliwa kesi ya unyanyasaji wa kingono

NYOTA WETU Rapa Sean Combs maarufu kama Diddy, anakabiliwa na kesi nyingine iliyofunguliwa na mwanamitindo wa zamani Crystal McKinney, mshindi wa zamani wa MTV’s 1998 ( Model Mission competition) , kesi iliyowasilishwa Jumanne katika mahakama ya shirikisho huko New York City. Kwa mujibu wa TMZ, Mwanamke huyo anadai kuwa rapa huyo alimshawishi kwa ahadi za… Continue reading Sean Combs “Diddy ” afunguliwa kesi ya unyanyasaji wa kingono

Profesa RWEKAZA MUKANDALA AFUNGUKA MAZITO YA MV BUKOBA

HABARI KUU Profesa Rwekaza Mukandala amesema kuzama kwa Mv. Bukoba kulitokana na sababu kadhaa, kubwa ikiwa ni meli kukosa ustahimilivu na kulala upande mmoja na kisha kuzama. Profesa Mukandala amesema hayo leo katika mhadhara wa uprofesa uliyofanyika katika Ukumbi wa Nkurumah uliopo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwenye mafunzo ya kutoka katika kujifungua kwa… Continue reading Profesa RWEKAZA MUKANDALA AFUNGUKA MAZITO YA MV BUKOBA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner