SERIKALI YAPIGA MARUFUKU HOSPITALI KUZUIA MAITI

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka waganga wakuu wa mikoa, waganga wakuu wa wilaya pamoja na waganga wafawidhi wa hospitali kwa ngazi zote nchini kuzingatia maelekezo ya mwongozo wa kutozuia maiti na kuweka utaratibu wa kulipia gharama za matibabu na madeni ya miili ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma pasipo kuwepo kwa vikwazo vinavyochelewesha… Continue reading SERIKALI YAPIGA MARUFUKU HOSPITALI KUZUIA MAITI

Mwanamuziki wa Bongo fleva mbosso ameachia Video ya Wimbo Wake “KUNGURU”

Unaipa Asilimia ngapi?

Chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress (ANC), kina kila dalili za kupoteza wingi wa wabunge kwa mara ya kwanza tangu kilipoingia madarakani miaka 30 iliyopita. Huku asilimia 50 ya kura zikiwa tayari zimehesabiwa, ANC inaongoza kwa asilikia 42, ikifuatiwa na Democratic Alliance (DA) yenye asilimia 23.

Chama cha Umkhonto weSizwe (MK Party) cha Rais wa zamani, Jacob Zuma kimepata karibu asilimia 11 ya kura na chama cha Economic Freedom Fighters cha Julius Malema kina asilimia 10. Matokeo ya mwisho yanatarajiwa kuwa hadharani mwishoni mwa wiki. Kwa mwendo huo, ANC italazimika kuungana na vyama vingine kwenye ubunge. Wapiga kura wengi wanalaumu ANC… Continue reading Chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress (ANC), kina kila dalili za kupoteza wingi wa wabunge kwa mara ya kwanza tangu kilipoingia madarakani miaka 30 iliyopita. Huku asilimia 50 ya kura zikiwa tayari zimehesabiwa, ANC inaongoza kwa asilikia 42, ikifuatiwa na Democratic Alliance (DA) yenye asilimia 23.

What is the Morning sex and its benefits to man and woman?

No insult or abuse of any kind in this platform take note. Morning sex that is sex between 4am-5;30am is the sweetest. that moment when he is still asleep, all his body system have settled down and has his normal morning erection, just sneak out of the bed and go toy the kitchen open the… Continue reading What is the Morning sex and its benefits to man and woman?

SERIKALI KUJA NA CHANZO KIPYA CHA MAPATO MWAKA 2024-2025

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali iko mbioni kupeleka Bungeni pendekezo la chanzo kipya cha mapato kitakachowezesha Wizara ya Ujenzi kupata fedha itakayotumika kusaidia masuala ya dharura. Dkt. Mwigulu amesema hayo wakati akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 ambapo amesema chanzo hicho kitaanza kutumika… Continue reading SERIKALI KUJA NA CHANZO KIPYA CHA MAPATO MWAKA 2024-2025

Different types of sex in marriage

TANZANIA YAZINDUA MAGARI YA UMEME

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua magari yanayotumia mfumo wa umeme ikiwa ni jitihada za Serikali za kuwezesha wananchi kutumia nishati safi nchini. Uzinduzi wa magari hayo umefanyika leo Mei 30, 2024 jijini Dodoma sanjari na uzinduzi wa Ofisi za Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) pamoja… Continue reading TANZANIA YAZINDUA MAGARI YA UMEME

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekutwa na hatia ya uharifu kwa mashtaka ya jinai 34

Hayo yamebainishwa na Jopo la wajumbe wa mahakama mjini New York,siku ya jana Alhamisi ambapo walisema kuwa Donald Trump anakabiliwa na mashtaka 34 ikiwemo ya kugushi hati zake za biashara. Jopo hilo lenye wajumbe 12 lilitathmini na kutafakari kwa siku mbili ushahidi wote liliopokea na kutoa uamuzi dhidi ya Trump mwenye umri wa miaka 77… Continue reading Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekutwa na hatia ya uharifu kwa mashtaka ya jinai 34

MCHEZAJI WA KLABU YA AL AHLY AHUKUMIWA JELA MWAKA MMOJA NA KUZUIWA KUCHEZA SOKA

Mchezaji nyota wa Al Ahly Hussein El-Shahat amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na faini ya pauni 100,000 za Misri kwa kosa la kumpiga Mohamed Chibi wa Pyramids kwenye mchezo ambao Al Ahly alifungwa Mabao matatu kwa bila msimu uliopita. Baada ya kumalizika kwa mchezo huo Hussein El-Shahat alionekana kumpiga Vibao Chibi huku akidai kuwa… Continue reading MCHEZAJI WA KLABU YA AL AHLY AHUKUMIWA JELA MWAKA MMOJA NA KUZUIWA KUCHEZA SOKA

Following the termination of Davido’s label, DMW’s partnership with Solana, Wizkid publicly criticized Davido partnership’s swift dissolution and subsequent decline in Solana’s value within 24 hours prompted Wizkid’s negative comments.

Renowned Nigerian musician Wizkid has taken to social media to express his disapproval of his colleague Davido, following the sudden conclusion of Davido’s collaboration with the cryptocurrency Solana, which was cut short due to a decrease in its market value. Wizkid, publicly criticized his rival Davido on various social media platforms after Davido’s partnership with… Continue reading Following the termination of Davido’s label, DMW’s partnership with Solana, Wizkid publicly criticized Davido partnership’s swift dissolution and subsequent decline in Solana’s value within 24 hours prompted Wizkid’s negative comments.

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner