Talaka ilivyotaka kuua kipaji cha nyota Michael Antonio

NYOTA WETU Nyota wa Ligi Kuu England, Michael Antonio amefunguka na kufichua kwamba alipatwa na tatizo la akili, ambalo lilimfanya atamani kuumia ili tu asicheze mpira. Mshambuliaji huyo wa West Ham United aliandamwa na tatizo hilo la akili lililosababishwa na mambo ya ndani na nje ya uwanja kitu kilichomfanya achukue soka..Antonio, 34, anafichua, wakati anajitafuta… Continue reading Talaka ilivyotaka kuua kipaji cha nyota Michael Antonio

Iranian President Ibrahim Rais has died in helicopter crash

BREAKING NEWS President Ibrahim Raisi and Foreign Minister Hossain Amir Abdullahi have died in a helicopter crash, Reuters reports. The president inaugurated two dams built around the border between Iran and Azerbaijan and they were heading to Tabriz. The helicopter 50 km from Tabriz city. May was the case in the distance and the foggy… Continue reading Iranian President Ibrahim Rais has died in helicopter crash

Rekodi ya Pep Guardiola dhidi ya Alex Ferguson

MICHEZO Baada ya kuiongoza Manchester City kushinda ubingwa wa Ligi Kuu England kwa mara ya nne mfululizo, Pep Guardiola ameshinda jumla ya mataji 17 tangu atue klabuni hapo. Man City inakuwa timu ya kwanza katika historia ya Ligi kuu England kutwaa ubingwa mara nne mfululizo rekodi ambayo hata kocha wa zamani wa Manchester United, mkali… Continue reading Rekodi ya Pep Guardiola dhidi ya Alex Ferguson

THINGS NOT TO DO IMMEDIATELY AFTER A BREAK UP IN RELATIONSHIPS

LOVE TIPS ❤ 1) RUN INTO ANOTHER RELATIONSHIP Don’t try to use a new relationship to forget an old one, Relationship is not a App you install just to help you forget your Ex, after you forget your ex, what then happens to the INSTALLED App? Don’t let mourning confuse you. 2) ISOLATE YOURSELF FROM… Continue reading THINGS NOT TO DO IMMEDIATELY AFTER A BREAK UP IN RELATIONSHIPS

MAZIKO YA ASKOFU ALIYEJINYONGA YASUBIRI UCHUNGUZI

MAGAZETI Karibu Mtanzania popote pale ulipo kwenye asubuhi ya leo kwenye mbao za magazeti ya hivi leo popote pale ulipo kwenye Jamhuri yetu tukufu ya Tanzania.

50 Cent bado aendelea kumkomalia Sean Combs “P Diddy “

BURUDANI Rapa 50 Cent, ameendelea kumkejeli Sean Combs maarufu kama Diddy, baada ya Ku-Comment kwenye Video iliyochapishwa na rapa huyo akiomba msamaha na kusema msamaha aliouomba hauto saidia kitu, na kuhoji nani anayemshauri hivi sasa. Hii inakuja kufuatia Video ya Diddy iliyovujishwa na kituo cha runinga cha CNN May 17, ambayo ilimuonesha rapa huyo akimpiga… Continue reading 50 Cent bado aendelea kumkomalia Sean Combs “P Diddy “

Diddy issues public apology following the a video showing him physically assaulting his former partner Cassie on the Internet

CELEBRITIES Diddy, a renowned American hip-hop artist and successful entrepreneur, has publicly expressed his remorse in a widely circulated online video. This apology comes in the wake of a video surfacing where he was seen engaging in physical assaulting his former partner, Cassie, at a hotel. On May 19th, 2024, Diddy took to his official… Continue reading Diddy issues public apology following the a video showing him physically assaulting his former partner Cassie on the Internet

Olumide Oworu explains why he keeps his partner’s face hidden

CELEBRITIES Notable actor, Olumide Oworu has opened up on his relationship as he reveals why he has chosen to keep his partner’s face hidden from the public. The talented movie star was invited to the ‘Surviving Lagos’ podcast during which he was interviewed by Susan Pwajok. He revealed that he feels like he has found… Continue reading Olumide Oworu explains why he keeps his partner’s face hidden

WHAT MANY PEOPLE DON’T UNDERSTAND ABOUT LOVE

LOVE TIPS ❤ 1. There will be times I will be so mad at you and cold towards you. It’s not that I hate you. I am just disappointed by what you did, my love hasn’t gone any where 2. There will be times I will not spend as much time with you as you… Continue reading WHAT MANY PEOPLE DON’T UNDERSTAND ABOUT LOVE

JESHI LA CONGO LATHIBITISHA KUWASHIKILIA WALIOPANGA MAPINDUZI

HABARI KUU Jeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, limetangaza kuwakamata washukiwa wa shambulio katika Ikulu ya Rais jijini Kinshasa, shambulio linalodaiwa kuwa jaribio la Mapinduzi. Waliokamatwa ni pamoja na Christian Malanga raia wa DRC anayeishi Marekani akiwa miongoni mwa waliokuwa wameongoza kundi lililohusika na shambulio hilo. Kundi hilo lilikuwa limeshikilia bendera ya Zaire kabla… Continue reading JESHI LA CONGO LATHIBITISHA KUWASHIKILIA WALIOPANGA MAPINDUZI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner