Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa ana uhakika wa ushindi katika Mdahalo wake utakaofanyika Juni 27 dhidi ya Rais wa sasa wa taifa hilo Joe Biden.

Watu wa karibu wa Trump wanaamini hata kama Trump atashinda katika Mdahalo huo, lakini waendesha mashtaka wa Serikali watamjia juu kutokana na mashtaka yanayomkabili dhidi ya utakatishaji Fedha na Rushwa.…

Continue ReadingRais wa zamani wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa ana uhakika wa ushindi katika Mdahalo wake utakaofanyika Juni 27 dhidi ya Rais wa sasa wa taifa hilo Joe Biden.

Business tycoon BLord stirred up a whirlwind of reactions across various online platforms with the news of his impending nuptials to a second wife.

Humanitarian and business tycoon, William Linus, popularly known as BLord, has set the internet ablaze with his recent announcement of planning to tie the knot with a second wife. BLord…

Continue ReadingBusiness tycoon BLord stirred up a whirlwind of reactions across various online platforms with the news of his impending nuptials to a second wife.

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT-CCM) Taifa, Mary Chatanda amekemea vikali kauli za udhalilishaji kwa watumishi wa umma wanawake zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa serikali nchini.

Amegusia klipu moja ya video ikihusu majibishano ya mkuu mmoja wa mkoa na mtumishi mmoja mwanamke ambayo majibu ya bosi huyo wa mkoa kwamba "hii si kitchen party", "hapa hutafuti…

Continue ReadingMwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT-CCM) Taifa, Mary Chatanda amekemea vikali kauli za udhalilishaji kwa watumishi wa umma wanawake zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa serikali nchini.

Manchester United wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa kombe la FA baada ya kuwakanda 2-1 mahasimu wao kutoka katika jiji la Manchester, klabu ya Manchester City kwenye fainali iliyopigwa kwenye dimba la Wembley

Mabao ya kipindi cha kwanza kutoka kwa Alejandro Garnacho na Kobie Maino yaliwahakikishia United taji hilo muhimu licha ya City kufufuka kipindi cha pili cha mchezo huo. Taji hilo limewahakikishia…

Continue ReadingManchester United wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa kombe la FA baada ya kuwakanda 2-1 mahasimu wao kutoka katika jiji la Manchester, klabu ya Manchester City kwenye fainali iliyopigwa kwenye dimba la Wembley